Diamond
Platnumz anafahamika kwa kushow love kwa kazi za wasanii wenzake kwenye
Instagram. Mmoja wa wasanii walionufaika na shavu lake ni Shilole
ambaye anapromote kava la single yake mpya ‘Malele’.
Akiweka picha hiyo, Diamond aliandika:
“Moja
ya mfano mzuri tulionao Nchini…wakati anaanza kila mtu alimdharau na
kumuona hatofika popote laikini leo hii Huwezi kuskia show kubwa
inafanyika Nchini bila yeye Kuwepo…Dada zangu msikubali kuishi maisha ya
kutegemea, Mbona mkijiamini wenyewe mnaweza… hivi hadi lini
mtanyanyasika na Kuporwaporwa vitu baada ya Mahusiano kufa..Amkeni sasa!
#Sio_wanaake_wote Huu mzigo wake mpya #MALELE.”
Hata
hivyo mashabiki waliipigia mstari sentensi hii: Dada zangu msikubali
kuishi maisha ya kutegemea, mbona mkijiamini wenyewe mnaweza… hivi hadi
lini mtanyanyasika na kuporwaporwa vitu baada ya mahusiano kufa..Amkeni
sasa!
Asilimia kubwa ya watu waliocomment kwenye post hiyo wanaamini sentesi hiyo imemlenga ex wake, Wema Sepetu.
Hizi ni baadhi ya comments:
Rinahjoe:
Be a man niqque!! u’ve started to be a hypocrite, n a clapp_trapp man.
On the ada syd no man z insecure as u as far as I can tell!!! Y all
those insecurities lol… Yew too much now #SMFH hop t ‘ll be sweet if u
behave manly!!! #PPB @diamondplatnumz
mamshafm:
@diamondplatnumz punguza uswahili huo wewe ni msanii mkubwa. Kama ni
ushauri huu ungeutoa kipindi upo kwenye mahaba mazito na @wemasepetu. Au
kipindi hicho hukuona juhudi za Shilole? Na je juhudi zake na kuhongwa
then kunyang’anywa vitu kwa wanawake vinahusianaje na juhudi za Shilole?
Kila mkiachana na Wema wewe ndiyo hua mropokaji ropokaji tu. si tayari
upo na Zari sasa mbona chokochoko kwa Wema haziishi? Hebu kukua kwako
kwa akili na fikra kuende sambamba na kukua kwako kimuziki. Shame on
you.
chasek84:
Kwa caption hii,leo ndio nimeamini mjomba umeachika,sasa cha kufanya
jikaze kiume,maana huyo unayempiga vijembe ndio mà ma wa shemeji yako,na
ndio mkwe wa dada yako,mapenzi yafe,lkn udugu ubaki,sasa siku dada
akijifungua mkikutana hospital na x wako,mtakuwa hamsalimiani,pia mjomba
ulifanya haraka kujitika yule bi mkubwa,wakati bado unampenda x
wako,ugomvi wenu ulikuwa unazungumzika,unaona sasa badio anakujia
ndotoni,tatizo nini mjomba,au ndio nyota,dah kweli nimeamini kuna xna
kuzidisha,ndio basi tena.
fetty94:
Duu @diamondplatnumz kweli ww unahitaji ndimu na malimao maana umeumia
sana mwanaume unatabia za kike ukiekewa mume mwenzio na wema cndo
utazimia kweli wa tandale watandale tu hata aishi wapi
fartoolarge:
Kuporwaporwa vitu…. hivi kuna yule mpenzi wake diamond, alinyang’anywa
gari na vitu vingine baada ya kurudiana na diamond.. nani sijui vile…
(wamanyema tunaongea ila chibu kazidi,… vijembe 101)
meggieimpostra:
Kweli kuachwa kubayaaa hpn chezeaa sbb anajiabisha @diamondplatnumz na
maneno yake mengine anayoandika inaonkna dhahiri imemuuma sanaaa sasa
angalia ukifanychoo ujiulizi mbnaa @wemasepetu aongei lolote juu yako
anafnya yake kwani wadhani hana anayoyajua kwako au hn la kuongea
akutaka tuu so jieshimu na isitoshe utachongaaa weee mwsho wa siku
unarudi kwake acha kujiabishaaa we ni mwanaume kufa kiumee kuachwa kupo
kuibiwa kupoo ila we uliebiwa unayapokeaje na ujue yule ni mremboo so
fanya yakooo.