Ticker

10/recent/ticker-posts

HUYU DIAMOND PLUTNUMZ SASA NI LEVO ZINGINE KIMZIKI..ONA ALICHOKIFANYA HAPA..NI HATARI TUPU HUKO YOU TUBE..AWAFUNIKA P SQUARE

.
.Tumeshazoea kuona baadhi ya mastaa wa Afrika wanapoweka video zao kwenye youtube wanapata views nyingi ndani ya siku chache lakini Good news time hii imeangukia kwa mkali wa Tanzania.
Mmiliki wa hit single ya ‘Mdogo Mdogo’ Diamond Platnumz ameipiku video ya wakali wa Nigeria P Square baada ya kupata views nyingi ndani ya siku nne.
Video ya P Square  ‘Shekini’  iliyowekwa youtube Nov 17 ina views 286,165 huku Diamond ambaye  video yake ‘Nitampata Wapi’ iliyoweka Nov 20 ina views 354,910.